Maranatha Global

The Spirit and the bride say, “Come!” – Rev. 22:17

Archive for July, 2009

31
Jul

CB007173MAANDIKO

1 timotheo 5:22 Usimwekee mtu mikono kwa haraka, wala ushizishiki zambi za watu wengine. Ujilinde nafsi yako uwe safi

2 timotheo 1:6
Kwa sababu hiyo nakukumbusha, uichochee karama ya Mungu, iliyo ndani mwako kwakuwekewa mikono yangu.

1. Kuwekeya mikono ( kunyoosha mkono kichwani mwa mtu) ili kuwa moja ya njia wapo ya kumu kabizi mutu madaraka, ao mamulaka. , Baraka, ao upako katika agano la kale. (mufano: Baraka za ukoo, kama yusufu akiwabariki wanae, pia Baraka za musa (” bwana afanye uso wake kuku angazia…ile ambayo ili angazia Mitume). Ilikuwa pia moja wapo ya njia iliyo tumiwa ku zi bebesha wa nyama zambi zetu mbuzi inayo chukuwa zambi zetu naku fukuzwa wenda jangwani. Walawi 1 6. una weza pia kutafuta mifano mingine katika agano la kale.

continue

Tags : , , , , , , , , , , ,
Category : Kiswahili | Blog
31
Jul

globe_africa2-150x1502Kwa sala zote na maombi mukisali kilawakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote  - Waefeso 6:18

Nami nikawaona wale malaika saba wasimamao mbele za Mungu, nao wakapewa baragumu, saba.  Na malaika mwingine akaja akisimama mbele ya madhabahu, mwenye chetzo cha dhahabu, akapewa uvumba mwingi, ili autie pamoja na maombi ya watakatifu wote juu ya madhabahu ya dhahabu, iliyo mbele ya kiti cha enzi.   Ufunuo 8:2-3

Katika Waefeso 6:18 ( inayo tajwa hapa juu) Paulo ana tuomba tuya ishi maisha ya maombi, kuomba wakati wote, kuwa macho na kuomba, kuwa kwenyi zamu na kuombea wapendwa. Na hiyi ndio jambo la maana sana la watakatifu, ama kazi ya Roho mtakatifu – Watu wanapo ishi maisha ya maombi. Kupitisha wakati nyingi katika maombi tunapo kuwa na fursa. Kinyume na hayo, watu wa dini wenda hu omba kwa ku baatisha to, ama wanapo kuwa na matokeo ya muhimu. ( mfano wakati walikizo) ama wanapo kuwa na matatizo Fulani ambayo wana itaji musaada.

continue

Tags : , , , , , , , , , , ,
Category : Kiswahili | Blog
31
Jul

CB053737Lamentations 3:22-23 – “Because of the Lord’s great love we are not consumed, for his compassions never fail. They are new every morning; great is your faithfulness.”

The Work of God in our lives should be a process of daily renewal. Salvation is not merely a static, once-for-all event. It is also a process, in which we grow and develop. We gradually become more of the person God wants us to be. Each new day is a new step in this process of salvation.

continue

Tags : , , , , ,
Category : Sermons | Blog
30
Jul

nigeria11-150x1502OWE 8:17 – Mo fe awon to femi, ati awon to wa mi ni kutukutu ni yo ri mi

I. IFINIMOLE

Ni owuro kutukutu nigbati ile ba mo, ti iri ba se yio gbe aye dide gege bi adidun fun ile gbibge eso yo gba omi lati ruwe ati lati so eso re. Oje ibere ojo titun ti o si dake roro. Gbogbo eniyan ti sun kosi si ariwo. Awon eye oju orun ko orin, won po longo pe imole ti de orun ko ni pe ran

II. OJU ESE NI IYANGBE ILE

Ni iyangbe ile, manna nja bo pelu iri ni owuro kutu. Numeri 11:7-9. awon eniyan jeun nipa manna bi won tin rin ni aginju loju ona si kanani. Olorun ran si won lojojumo ni owuro kutukutu. Awon eniyan yo sa manna naajo lowuro ki orun to tan loke tabi bi beko manna yo yo ninu gbigbona itansan orun (Eksodu 16:21)

continue

Tags : , , , , , , , , ,
Category : Yoruba | Blog
30
Jul

africa3-150x15011 Wakorintho 12:10 -“ …na mwengine  aina tofauti za lugha, na mwingine tafsiri za lugha.

1 Wakorintho 12:30 “ je ni wote wana karama zakuponya wagonjwa? Ni wote wanena kwa lugha? Ni wote hu fasiri?

1 wakorintho 14:27-28 – “kama mtu ana nena kwa lugha wanene wawili ao watatu, na siyo zaidi, tena zamu kwa zamu na tena mumoja a tafsiri.  Lakini asipo kuwa mwenye kutafusiri, na anyamanze kimya mwenye kunena, na kujizungumuzia mwenyewe na Mungu.

Lugha na utafusi ni karama ya nane na tisa za kiroho – mbili za mwishokatika taratibu. wenda tuna zizungumuzia pamoja maana lazima zitembee pamoja kanisani, (basi kama hauja pata mafunzo yetu Fulani kuhusu kara za kiroho, utujulishe ku pitia e-mail na tutafanya mpango kuzituma) tuna taka karama zote tisa zipate nafasi kanisani.

continue

Tags : , , , , , , , ,
Category : Kiswahili | Blog
30
Jul

globe_africa2-150x15011 WAKORITHO 12:7-10 - ”" Maana mtu mumoja kwa roho apewa neno la hekima, na mwingine neno la maarifa, apendavyo roho yeye yule, na mwengine imani katika Roho yeye yule na mwengine karama za kuponya Roho yule yule mmoja, kwa mwingine karama za utendaji miujiza, na kwa mwengine unabii…”

” wanabi wawili ama watatu wanene na wengine wakague kimakini vinavyo nenwa. - 1 wakoritho 14:29

“na musitweze unabii, jaribuni mambo yote, lishikeni lililo jema. - 1 watesalonika 5:20-21

Karama za Roho mtakatifu ni mojawapo ya aina ya kazi zamungu. Ujuzi nyingi zamuhimu sana, na Baraka nyingi zilitufuata kupitia zawadi za roho. Hata hivyo ni vizuri ku pambanua gani inatokana na mungu na gani siyo ya mungu. Kama sivyo basin na tuta shushwa myioyo. umuhimu wa karama za roho ma kanisani mwetu ina hitaji kwamba tuwe waangalifu kuhusu undaganyifu ama karama za wongo.

continue

Tags : , , , , , , ,
Category : Kiswahili | Blog
30
Jul

nigeria11-150x1502Awon Oba II 4:8-17
O si di ojo kan, Elisa si koja si sunemu, nibi okunrin olola kan wa;o si ro lati je ounje o si se nigbakugba ti o ba nkoja lo, on a ya si ibe lati je ounje,o si wi fun oko re pe; emi mimo Olorun ni eyi tin gba odo wa koja nigbakugba. Emi be o, je ka se yara kekere kan lara ogiri; si je ka gbe ibusun kan sibe fun ati tabili kan ati ohun ijoko kan sibe fun ati opa fitila kan, yo si se nigbati o ba towa wa”

Obirin nibi isele yi ni lati ni ohun gbogbo laye:
Ile to tobi, omo odo, eran osin, pelu opolopo ohun ini ati oko toye ye. Ko nilo ojurere latodo oba tabi oga ologun kankan. Obrinrin yi; ti soju fun awon ti won ti ni ohun gbogbo laye. Nigba miran a ko tile mo boya awon wonyi;;n;ilo ati ni imolara nipa nini igbala.

continue

Tags : , , , , , , , , , ,
Category : Yoruba | Blog
29
Jul

zimbabwe-flag-map1 Vakorinte 13: 4 – Rudo runomoyo murefu, runomoyo munyoro; rudo harunegodo; rudo harunemanyawi, haruzikudzi.

Mwari rudo. Bhaibheri rinotidzidzisa kuti rudo rwakakosha kudarika zvipo zvemweya, minana, dzidziso, kana tariro [kunyangwezvo Mwari vanodisa kwazvo kuti kereke imwe neimwe inge ine zvipo zvakasiyana] Bhaibheri rinotiudza kuti rudo runodarika Rutendo [1 Vakorinte 13:13]. Rudo haruzvikudzi. Kuzvikudza hakuratidzi kuti Jesu kristu varikurarama matiri uye vanodana vamwe kuburikidza nesu.

Kuzvikudza kwakaipa munhengo dzemukereke, asi kwakanyanya kuiyipisa kuvafundisi. Vanodakuzvikudza nokuda kwevanhu vakauya kurumutso kana kumisangano yavo, vachizvikudza nokuda kwekuti vanotungamirira makereke mangani, uye kuti vanhu vangani vari mukereke yavo. Zvakanyanyoipa ndezvekuti mafundisi ava anozvikudza nekudada [izvi vanoizvita kudzikereke dzavo kuti vaonekwe nenhengo dze sondo dzavo sevanhu vakuru chose] Nguva zhinji vanowanzo nyepa vachivedzeredza huwandu wenhengo dzekereke dzavo, dzimwe nguva vanotaura chaizvo. Uku kunyepa uye tinoziva kuti kunyepa chivi chakaipisa chose. Zvinoshamisa kwazvo kuti vafundisi ne vashandi mukekere vanogozvovedzeredza huwandu wevanhu kana kunyangwe zvavanenge vachitaura kuti ndizvo zvavari, nezvavakaita- asi izvi tinozviona nguva nenguva zvichiitika. Tinoona ava zvekare vanoti “vari kufamba mukuzarurirwa.”   Zvakaoma chose kuti tiyananise chisiri chokwadi [manyepo] ne kuzarurirwa. Hazvibvire kuyananisa kuzvikudza no rudo.

continue

Tags : , , , , , , , , , ,
Category : Shona (ChiShona) | Blog
29
Jul

nigeria11-150x15021 KORINTI 12:7-10 – “Sugbon an fi iihan emi fun olukuluku enia lati fi jere. Nitori a fi oro ogbon fun enikan nipa emi, ati fun elomiran oro-imo nipa emi kana ati fun elomiran igbagbo nipa emi-kanna. Ati fun elomiran ebun imularada nipa emi-kanna; ati fun elomiran isotele; ati fun elomiran oniruru-ede, ati fun elomiran itumo ede.”

“Sugbon eniti n so tele mba awon enia soro fun imuduro, ati igbinyanju ati itunu,”  - 1 korinti 14:3.

Elekefa ebun- emi ni asotele jo. Ninu majemu laelae asotele sise lona to yato gedegede ju ninu majemu titun lo.  Ti majemu laelae ojuse woli o parade nigbati emi-mimo ba ba le awon gbogbo ijo.  Asotele je ebun – emi nisisinyi, ni eyi ti otunmo sipe eyikeyi ninu awon omo ijo le ko ipa ninu re nigbati emi nfe (wo ise awon aposteli 2:17-18, joeli 2:28-32). Bibeli gbawa niyanju ninu ijo lati gba adura fun asotele (1 korinti 14:1) beeni, a ko gbodo so di akole fun awon eniyan ti o se Pataki, ti won npe ara won ni “Woli” eyi ni ayo ti awon ti ki se eni emi nta.

continue

Tags : , , , , , , , , , , ,
Category : Yoruba | Blog